TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars jana Jumamosi iliikandamiza Sudan ‘Mwewe wa Jangwani’ kwa mabao 3-1 katika mechi ya kuwania tiketi ya kushiriki fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za nyumbani (CHAN).
DKT. MWIGULU AKAGUA MAENDELEO MRADI WA BWAWA LA MAJI KIDUNDA
44 minutes ago


0 comments:
Post a Comment