TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars jana Jumamosi iliikandamiza Sudan ‘Mwewe wa Jangwani’ kwa mabao 3-1 katika mechi ya kuwania tiketi ya kushiriki fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za nyumbani (CHAN).
Ruth Zaipuna Kuipeleka NMB Jukwaa la Kimataifa Cambridge
38 minutes ago


0 comments:
Post a Comment