TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars jana Jumamosi iliikandamiza Sudan ‘Mwewe wa Jangwani’ kwa mabao 3-1 katika mechi ya kuwania tiketi ya kushiriki fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za nyumbani (CHAN).
KESI YA LISSU YAAHIRISHWA HADI KIKAO KINGINE
7 hours ago


0 comments:
Post a Comment