Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Thursday, November 13, 2008

Fedha ya zimbabwe imeshuka thamani kwa asilimia millioni 2.2 kiasi cha kuilazimisha serikali kutengeneza noti za shilingi billioni moja ili ziingie kwenye mzunguko. Uchumi hauleweki.

0 comments: