Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Wednesday, November 05, 2008

Mtoto Barack Hussein Obama , alizaliwa August 4, 1961. Picha hii imetunzwa hadi hii leo na kutolewa kwenye mtandao na dada yake Obama ,Maya Soetoro-Ng. Obama sasa ni Raisi mteule wa Marekani. Mtunze mwanao huwezi kujua!

0 comments: