Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Tuesday, November 25, 2008

Mh. Daniel Yona na Mh.. Basil Mramba wakiwa mahakama ya hakimu mkazi ya kisutu
Dar es salaam jijini dar baada ya kusomewa mashtaka . Mh. Mramba amesomewa mashataka 13 ikiwa ni pamoja na kutumia vibaya madaraka alipokuwa waziri kuingia mikataba mbalimbali ikiwemo ya madini . OOOh imeshindikana kuachiwa dhamana kwasababu ghafla kuwa na fedha taslim shillingi Billioni 3.9 kila mmoja, kukabidhi hati ya kusafiria , wawe na wadhamini wa kuaminika na hamna kutoka Dar. Du ngumu!.

0 comments: