Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Monday, December 15, 2008

Helikopta ikijiandaa kumuokoa mjapani mmoja kati ya wawili aliyekwama kwa siku sita katika kilele cha mlima Aoraki Cook nchini New Zealand walikuwa wakifanya majaribio ya kufika kileleni wakati wa baridi . Mwenzake alifariki dunia kutokana na baridi kali kabla ndege hiyo haijafika katika eneo hilo..

0 comments: