Mwandishi wa habari wa kituo cha Tv cha Baghdadiya , Muntazer al-Zaidi, akirusha viatu vyake dhidi ya Raisi Bush alipokuwa akiongea na waandishi wa habari leo Jumatatu huko Baghadad Iraq. na alifanya hivyo akipiga kelele hilo ndio Busu la kwaheri na vikosi vyako . Du jamaa kajitosa!
RAIS DKT SAMIA ATOA MAELEKEZO KWA WAZIRI MCHENGERWA
28 seconds ago
0 comments:
Post a Comment