Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Monday, December 29, 2008

Israel inafanya mashambulizi ya anga katika ukanda wa Gaza kwa kisingizio cha kuwaadhibu wanamgambo wa Hamas. Masambulizi ya maroketi yamelenga makazi ya raia na watu laki tatu wamekufa...Nii unyama usioelezeka.

0 comments: