Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Thursday, February 19, 2009

Mkuu wa Mkoa Mstaafu wa Mwanza na kada mwandamizi wa CCM Mh. Stephen Mashishanga Kulia akiwa na Int. Paparazi na Komrade mwenzake hivi karibuni. Mashishanga ni miongoni mwa Viongozi nchini Tanzania aliye kipenzi kikubwa cha watu.

0 comments: