Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Thursday, February 19, 2009

Waandishi wa habari waandamizi na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari walikutana Morogoro Mwezi wa pili mwaka 2008 mjini Morogoro , kujadiliana Juu ya mwenendo wa mfuko wa BIma ya afya . Picha muhimu za kumbukumbu ya tukio hilo.
Pichani ...kufahamiana na Mhariri wa Kituo cha TV Channel 10 ni muhimu. Nyuma yetu ni paparazi Charles Hillila wa Channel 10 Kituo cha Shinyanga. Nami Nikiwakilisha TBC ....Mkoa wa Shinyanga. inapendeza.

0 comments: