Kama hujafika hapo ...kuna kitu umekikosa ..Haya ni maajabu ya nane ya dunia , hifadhi iliyo mithili ya sufuria kubwa yenye viumbe hai na uoto wa asili. Ngorongoro Creater. Iko pembezoni tu njia ya Arusha Musoma kupitia Serengeti National park.Jitendee haki kwa kufika hapo.
KAMATI YA BUNGE YAIPA KONGOLE WIZARA YA MALIASILI NA UTALII.
37 minutes ago

0 comments:
Post a Comment