Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Thursday, February 12, 2009

Maji yamehama! kutokana na mabadiliko ya tabia nchi na kuongezeka kwa joto duniani lakini pia ni kutokana na matumizi ya maji ya ziwa hilo. picha inaonyesha maji yamehama kwa karibu mita 100 na hii ni katika kipindi kisichozidi miaka kumi! Picha inapoanzia ndipo maji yalipokuwepo!

0 comments: