Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Friday, March 13, 2009

Nilimuuliza Balozi wa Tanzania nchini Japani anayestaafu Mh. Elly Mtango yapi makubwa ambayo watanzania wazingatie ili wapate maendeleo ya kasi . Akanijibu; mambo matatu makubwa yanahitajika kwanza , Kujiamini, kufanya kazi kwa bidii na matumizi mazuri ya rasilimali muda. Mengine yafuate. Mazungumzo ya kuagana na Mh. Balozi anayestaafu.

0 comments: