Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Saturday, March 21, 2009

Raisi Marc Ravalomanana akiwa na Raisi Kikwete Ikulu Dar Oct.6,2008..aliporudi kwao ndipo akaanza kupata chagizo hadi kumuondoa kitini...Fuatilia matukio ya huko Madagascar.
Marc Ravalomanana aliyezaliwa tarehe 12,Desemmba mwaka 1949 huko Imerinkasinina amekaa katika Ikulu za nchi hiyo tangu mwaka 2002. Alijichukulia madaraka ya urafiki baada ya kukataa matokeo ya Uchaguzi wa Uraisi mwaka 2001 akidai alimshinda Raisi wa wakati huo Didier Ratsiraka na hivyo kuingia Ikulu kwa mabavu lakini mwaka 2006 akashinda uchaguzi wa kidemokrasia na kuingia Ikulu kihalali kabla ya kuondolewa majuzi.

0 comments: