Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Saturday, March 21, 2009

Eneo la Kishili, Mwanza...Maliasili iliyoduwaa kutokana na ukosefu wa Mitaji. Nawaza maeneo ya mawe kama haya yangekuwa Marekani wangeyafanyaje. Barabara za Miji zingejengwa na mawe. Pengine pia ni ukosefu wa teknolojia ya uchongaji wa mawe.

0 comments: