Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Monday, March 30, 2009

Hawa jamaa wako smart sana na kazi yao. Ukionja robo kikombe tu ya laga...hakuna msamaha na hata ukipanda gari ambayo dereva wake amekunywa wewe faini ya mamilioni na yeye pia vinginevyo jela. Ole wako usifunge mkanda , au huna leseni . Hakuna rushwa , hakuna kupindisha sheria. Madereva wa Japani wanainyenyekea Sheria na wakifika kwenye zebra wanakuwa na adabu zao . Ukimpigia honi ya kumshitua mtu wakati ni haki yake kupita ...utamlipa. Tanzania Je. Nauliza ingekuwaje siku moja tu Trafiki wa Tanzania nchi nzima wakafuata na kusimamia kanuni zote za usalama barabarani nchi nzima kwa asilimia mia moja ...Faini tu ingetosha kuhudumia wizara ya mambo ya ndani....Thanx willy/wilna.

0 comments: