Mwanamume wa kimursi huko kusini mwa mkoa wa Omo nchini Ethiopia. Kabila hili linakisiwa kuwa na watu kati ya elfu 46 na 47. Ni wafugaji na wawindaji wazuri wa wanyama pori kama unavyomuona huyo jamaa kabeba kifaa.
Ni hapa...
Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 comments:
Post a Comment