Siku moja Miji ya Tanzania itakuwa kama hivi , hakuna kukatika umeme mwaka mzima. hapa ni Shijuku jiji lililo ubavuni mwa Shibuya jijini Tokyo. Nishati ya nyuklia haiongopi lakini inataka nidhamu ya maisha. Pengine wasiwasi wangu ni kuwa lini tutaacha kwanza kuiba mafuta ya transfoma kabla ya kufikiria mengine?
Basi Lapinduka Mikumi 57 wanusurika, 13 Wajeruhiwa
11 minutes ago

0 comments:
Post a Comment