Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Friday, April 03, 2009

Mlo wa usiku baada ya kukamilisha mkutano wao wa siku Moja. Mataifa ishirini yaliyoendelea kiviwanda na yale yanayoibukia kiuchumi duniani .Afrika Kusini ndiyo taifa pekee barani Afrika lenye uanachama katika G20. Mada ya mkutano wa G20 ilikuwa kuutafutia ufumbuzi msukosuko wa uchumi unaoikumba dunia kwa wakati huu. Pia viongozi hao walijadili mbinu za kuzuia mdororo kama huu usitokee tena kwa siku zijazo.

Tunasubiri matokeo...

0 comments: