Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Saturday, May 16, 2009

Leo jumamosi na kesho jumapili (tarehe 16/17 mei) kutakuwa na maonyesho ya African Festa kule Yokohama Akarenga Soko. Hivyo kama uko nchini Japani hivi sasa ,usikose burudani hii ambapo utaweza kula vyakula vya kiafrika na pia kuburudika na muziki toka nchi mbalimbali za kiafrika. Band ya kitanzania ya Tanzanite chini ya Fresh Jumbe Mkuu itakuwa inaburudisha siku ya tarehe 17(jumapili) . Kwa habari zaidi kuhusu maonesho haya tembelea tovuti hii http://www.africanfesta2009.com/

Fresh Jumbe akizikonga nyoyo za wapenzi wake hapa Japani.

0 comments: