Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Saturday, May 16, 2009

Hali ya magereza nchini Brazil...Msongamano wa wafungwa na mahabusu. Hivi watawala kote ulimwenguni hususan katika nchi zetu ikiwemo Tanzania wanafikiria kitakachotokea pindi ukizuka ugonjwa wa mafua ya nguruwe hapo...siju!

0 comments: