Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Thursday, May 21, 2009

Chumba cha mtihani.

Nchini Tanzania wakati huu kunaendelea zoezi ya mitihani ya kujiweka sawa na ile ya mwisho ya kumaliza darasa la saba maarufu kwa jina la Mock. Na hii inaingia katika rekodi ya maendeleo ya mtoto. Hapa ni wanafunzi wa darasa la saba shule ya msingi Maendeleo huko Mbagala Kuu karibu na sehemu ambako mabomu yaliliripuka wakifanya mtihani huo. Duh tutafika kweli!
Thanks -BongoPix

0 comments: