Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Wednesday, May 27, 2009

Mmoja wa waandishi wakongwe Marekani na duniani kwa ujumla wa kiwango chake mwenye makazi yake jijini New York Bi. Helen Thomas, ambaye alifanya kazi ya kuandika habari za matukio yote yaliyomuhusisha raisi wa zamani wa Marekani John F. Kennedy miaka ya 1960 na anaendelea na kazi hiyo hadi sasa . Hapa alikuwa katika Mkutano wa Bw. Obama April 29. Raisi Kennedy aliuwawa mwaka 1963, Nov. 23 akiwa bado madarakani.

0 comments: