Watafiti wa kilimo cha mpunga kutoka chuo cha Utafiti Ifakara mkoani Morogoro hivi sasa wako Chuo Kikuu cha Tokyo Japani kula kitabu kuhusa aina mpya ya mpunga inayoitwa NERICA. Kuliani Jerome Mghase na Kushoto Emanuel Mgonja ...kila la kheri. Mahojiano zaidi na wataalamu hao bofya ; http://www.nhk.or.jp/nhkworld/swahili/top/index.html
Mkutano wa TAMSTOA waibua changamoto za Malori
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment