Watafiti wa kilimo cha mpunga kutoka chuo cha Utafiti Ifakara mkoani Morogoro hivi sasa wako Chuo Kikuu cha Tokyo Japani kula kitabu kuhusa aina mpya ya mpunga inayoitwa NERICA. Kuliani Jerome Mghase na Kushoto Emanuel Mgonja ...kila la kheri. Mahojiano zaidi na wataalamu hao bofya ; http://www.nhk.or.jp/nhkworld/swahili/top/index.html
Ni hapa...
Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!
Posted by
BM.
on
Friday, May 15, 2009
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment