Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Tuesday, June 23, 2009


WAOMBOLEZAJI;Baadhi ya waombolezaji katika mazishi ya Gwizi la muziki wa Taarabu nchini Tanzania Bi. Nasma Khamis Kidogo amefariki jana Jumatatu . Picha juu ni wanamuziki Lady Jaydee , Bi. Shakila na Patricia Hillary .Mazishi yamefanyika jana Jioni katika makaburi ya kisutu, Dar . Bi Nasma Khamis Kidogo alifariki alfajiri ya Jumatatu ya Juni 22 nyumbani kwake eneo la Tabata jijini Dar es Salaam baada ya kuugua kwa muda mrefu.(kwa hisani ya Binti machozi -Lady Jaydee)
Kumbukumbu ya picha ya marehemu Nasma kushoto akiwa na mwimbaji wa taarabu Bi. Khadija Kopa .Marehemu ameacha watoto sita na wajukuu watatu. Mungu aiweke roho ya marehemu mahala pema peponi, Amin.

1 comments:

mumyhery said...

Inna lilahi wa inna ilaihyi rajuun