Kuna jambo kubwa sana limefanyika huko Mwanza miaka kadhaa iliyopita ya kuanzisha kituo cha utamaduni na kumbukumbu ya kabila la wasukuma kule Bujora. Hapo kumbukumbu ya kabila hilo zinahifadhiwa ambapo wageni wa ndani na nje hufika kujionea. Miaka kadhaa ijayo mambo haya yanaweza kupotea bila kujua. Weye unakotoka kuna kitu kama hiki.; kalagabaho!
Int.Pz. Peter Omari alifika hapo majuzi tu.
Wanawake wa TRA Morogoro Wawafariji Watoto Yatima na Wazee
12 minutes ago

0 comments:
Post a Comment