Washabiki wa Mirindimo...Baada ya mapumziko ya takriban mwezi Mzima Nyumbani Tanzania nimerejea Tokyo nikiwa na afya njema ...habari na picha za kutosha . Kuanzia Kesho J1 naahidi kuanza kupachika baadhi ya picha za Bongo..Sore kwa kuwa kimya lakini mambo yatatengemaa. Take 5 ..karibu. Hapo Osaka jana nikiwa njiani kuja hapa Tokyo..
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
10 hours ago
0 comments:
Post a Comment