Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Saturday, September 26, 2009

kuna Vijiji maalum vya wamasai mkoani morogoro katika wilaya ya Mvomero ambako kila mnada wa Ngombe ukifanyika ...lazima Nyama nyingiene ichomwe na kuliwa na wadau..fuatilia raha ya minada hii hasa kwa wapenda nyama! chagua mofu hapo!
Utaalamu wa kuoka nyama!

0 comments: