Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Thursday, December 17, 2009


...."Kiongozi anayetufaa Tanzania , ni yule anayejua kuwa nchi yetu ni masikini na watu wake ni masikini. Na ukimwangalia usoni ...uone anaguswa na umasikini wetu. Vinginevyo hatufai...." J.K.Nyerere.
Ndio maana yake...

0 comments: