Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Sunday, January 17, 2010

Rais Barack Obama wa Marekani amewaomba Maraisi wastaafu wa nchi hiyo Bill Clinton na George W.Bush kusaidia kukusanya fedhaza kuisaidia Haiti iliyokubwa na tetemeko la Karne. Na katika kuonyesha umoja wao walionekana katika Mkutano wa pamoja na mapaparazi katika IKULU ya Marekani wakitangaza kuwa wataifanya kazi hiyo. Mshikamano huu ni mzuri au unasemaje....
Rais Barack Obama , Maraisi wastaafu Bill Clinton na George W.Bush wakijongelea eneo la mkutano White House... Tayari kuonana na mapaparazi...
Wameanzisha Obama alichokiita Clinton Bush fund kwa ajili ya Haiti

Shughuli imeisha..

0 comments: