Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Friday, January 29, 2010

Nchini DRC kuna jamaa alikuwa ktika bendi mbalimbali za zamani na sasa ameanzisha kasi ya kuzipiga nyimbo za wakati huo./// Kwa wapenzi wa rhumba la taratibu , wale wa Sendema ya moto...enzi ya Dekule Kahanga Maquiz wanaweza kupata hisia ya kile ninachoongea. Sikiliza mpini wa kiutu uzima. Bila shaka wa miaka ya 80s /90s kiwingu. Hya wanaweza kubofya hapo ukajizungusha kidogo!

0 comments: