Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Tuesday, February 09, 2010

Kuna ukweli kuwa wake wa wapiganaji wana ujasiri fulani katika mienendo na kauli zao. Hili ni jambo lililo na ukweli . Bofya hapo umsikie huyu , mama , kauli zake zinaweza kukufanya umwelewe vizuri.


Mke wa kiongozi wa kwanza wa Sudani Kusini Hayati John Garang , anaitwa bi Rebecca Garang alipokuwa katika mahojiano na Mtangazaji wa Sauti ya Amerika -VOA Shaka Ssali katika kipindi cha Straight Talk Africa , kuhusiana na mume wake. Ushupavu wa mwanamke huyu umenifurahisha sana..

0 comments: