Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Monday, February 15, 2010

Paul, 25, and Ruth Muli, 56, during their wedding at the Rock City Hotel in Nairobi, on Sunday. Photo: Mbugua Kibera /Standard

Kwa hakika J2 iliyopita ya tarehe 14/02 ,Siku ya wapendanao, ilikuwa maalum kwa kijana PAul Muli (25)na Bi. Ruth Wanjiru (54) ,Mfanyabiashara millionea raia wa Kenya walipofunga ndoa baada ya kuwa wapenzi kwa miaka mitatu. Sherehe zilifanyika katika Hoteli ya Rock City Hotel na kuhudhuriwa na wageni takriban 250 ikiwa ni pamoja na watoto wa mama huyu , mtoto wa kiume mwenye miaka 34 na wa kike mwenye miaka 23.Tofauti ya umri imezusha mjadala kuwa ...Eeeh Imekuaje! lakini swali hapa kuna mbaya gani?Unasemaje...
Na huko Nigeria Mwanaume mmoja mwenye miaka 84 anaishi na wake zake wapatao 86 na watoto zaidi ya 150 na wakeze wanampenda ile mbaya. Mahakama ya Kiislamu imemlazimisha awatimue wake zake 82 abaki na wanne na amegoma , hii unaionaje ...ipi kali zaidi.Bofya hapo chini.

0 comments: