Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Sunday, February 28, 2010


zoezi la kuwahesabu watoto na kuwapeleka shule linafanywa hivi sasa na shirika la Elimu , Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa -UNICEF huko Haiti.Maisha yanaanza upya baada ya kizazaa cha tetemeko.

0 comments: