Vijana wawili wa Kijapani , Hideki Ozawa (Kulia kwangu ) Na Nishiyama (Kushoto)wamerejea majuzi kutoka Tanzania. Wamenipa simulizi za kusisimua zinazohusu Nyumbani hasa kwetu Masasi. Wakanidokeza kuwa hata Samaki nchanga walimla. Ukitaka mahojiano kamili ingia kwenye mtandao wa NHK -swahili service uone jitihada za wenzetu na wanavyoizungumzia nchi yetu;
www.nhk.or.jp/nhkworld/swahili
JAB YAWEKA SHARTI LA ITHIBATI SAMIA KALAMU 2026
49 minutes ago

0 comments:
Post a Comment