Afrika Kusini iko katika maandalizi ya mwisho mwisho tayari kuanza kwa fainali kombe la dunia juni mwaka huu 2010, takriban miezi miwili kuanzia sasa. Kwa viwanja wamejiandaa vilivyo. Hebu tuchungulie walichokifanya.
Jiji la Pretoria ...linalotazamiwa kupokea wageni zaidi katika mashindano hayo.
Moses mabhida Stadium, Durban , Kwazulu Natal.
Nelson Mandela stadium Port Elizabeth...
City Soccer Stadium , Johannesburg.
DK.KIMEI AWEKA REKODI YA UTENDAJI VUNJO
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment