Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Saturday, April 24, 2010


Mahakama mjini Kigali imemwachia huru kwa dhamana mwanasiasa Victoire Ingabire aliyekamatwa Jumatano kwa tuhuma za kupinga kutokea mauaji ya kimbari na kushirikiana na makundi ya kigaidi.Mwanasiasa huyo alirejea nchini Rwanda kutoka ushamishoni kwa lengo la kugombea kiti cha urais katika uchaguzi utakaofanyika Agosti mwaka huu. Bi Ingabire ameagizwa kuripoti serikalini mara mbili kwa mwezi. Pia ametakiwa asiondoke mjini Kigali. Ingabire anaongoza chama cha kisiasa cha Unified Democratic Forces. Watetezi wa haki za binadamu wanailaumu serikali ya Rwanda, ingawa Rais Paul Kagame amekuwa akinukuliwa akisema serikali yake inaongoza kwa misingi ya haki na haitaruhusu baadhi watu kuvuruga amani.
Mjue Victorie; Victoire Ingabire Umuhoza born 3 October 1968 is a Rwandan politician. She is the Chairperson of the Unified Democratic Forces (UDF) a coalition of Rwandan opposition parties with a large base of active members in Rwanda, Europe, United States of America and in Canada.
Married and a mother of three, she trained in commercial law and accounting and graduated in business economics and corporate management in the Netherlands. Victoire worked as an official of an international accounting firm based in the Netherlands where she was in charge of its accounting departments in 25 branches in Europe, Asia and Africa. In April 2009, she resigned from her function to dedicate herself to a political career and to prepare her return to her homeland and, as the head of her political party, to contribute to rebuilding of her country.
On her arrival in the country, to honor the victims of Tutsi genocide, she visited the Gisozi Genocide Memorial Centre. In her speech, she stressed that those who committed Tutsi Genocide as well as those who committed other war crimes and crimes against humanity should be brought before the courts of justice .
However, her critics argue that her speech, condemning the Genocide committed against Tutsi and denouncing other serious crimes against humanity and war crimes, was perceived by some as minimizing or denying the Tutsi genocide

0 comments: