Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Sunday, July 04, 2010


Sijui nianzie wapi...acha tu!

Wacha nishughulike na hiki kwanza....

hai tebo...wananchi walikuwa bize kwenye chakula...

Huyu jamaa wa Kiganda mcheshi sana alifurahisha baraza..


Mwenyeji wetu alipita kila kona kuhakikisha kila kitu kinaenda barabara...


Ufafanuzi wa menyu..

0 comments: