
Sijui nianzie wapi...acha tu!
Wacha nishughulike na hiki kwanza....
hai tebo...wananchi walikuwa bize kwenye chakula...
Huyu jamaa wa Kiganda mcheshi sana alifurahisha baraza..
Mwenyeji wetu alipita kila kona kuhakikisha kila kitu kinaenda barabara...
Ufafanuzi wa menyu..
RAIS WA BURUNDI AMFARI RAIS SAMIA
10 hours ago

0 comments:
Post a Comment