
Vazi linapendekezwa litumiwe na watembea kwa miguu ili kuepusha ajali. ...Nafikiria tu likivaliwa na watui jijini Dar es salaam , na mtu akakosea na kubofya kushoto kumbe anakwenda kulia si balaa...watu bwana!
MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI MKUTANO WA DHARURA WA SADC
50 minutes ago

1 comments:
Hii kali !
Post a Comment