Raisi Sebastian Pinera wa Chile katika picha ya pamoja an wachimbaji 33 waliokolewa kwenye migodi baada ya kufukiwa na udongo , hapo wapo katika hosiptali moja ya Copiapo nchini humo
Mchimba madini aliyeokolewa nchini Chile Osman Araya akimfariji mkewe baada ya kuvutwa kutoka ardhini . yeye alikuwa mtu wa sita kati ya 33 kuokolewa baada ya kukaa chini ya ardhi kwa siku 69. Hebu fikria nyoyo zao zilikuwa zikiwaza nini hapo!
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
8 hours ago
0 comments:
Post a Comment