
Raisi Sebastian Pinera wa Chile katika picha ya pamoja an wachimbaji 33 waliokolewa kwenye migodi baada ya kufukiwa na udongo , hapo wapo katika hosiptali moja ya Copiapo nchini humo
Mchimba madini aliyeokolewa nchini Chile Osman Araya akimfariji mkewe baada ya kuvutwa kutoka ardhini . yeye alikuwa mtu wa sita kati ya 33 kuokolewa baada ya kukaa chini ya ardhi kwa siku 69. Hebu fikria nyoyo zao zilikuwa zikiwaza nini hapo!
Samia: Maneno basi, sasa ni utekelezaji
1 hour ago

0 comments:
Post a Comment