Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Mlo

Posted by BM. on Sunday, October 17, 2010

Baada ya kushuhudia tamasha la ngoma za kijadi za kijapani...tukaalikwa nyumbani kwa Bi. Midori Uno na dada yake Lumiko Uno kwa ajili ya chakula cha mchana...



Haruki , na Melisa...

Chiazzz, Ruci,Kadilo na Haruki...

Kabla ya kufunga menyu kwa kahawa tulikula hili tunda...Watambuzi tambueni laitwaje hilo tunda?

0 comments: