Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Wednesday, December 01, 2010

Nimefuatilia kwa makini simulizi hii ya waandishi wa habari wa Kenya nimeridhika kuwa wamefanya kile tunachokiita chunguni kama 'Habari za uchunguzi' . wanaopenda kazi ya uanahabari na wanahabari wenyewe wanaweza kufuatilia taarifa hii na kisha tuchangie maoni yetu.

Hongereni jicho pevu...nimewakubali....

1 comments:

Anonymous said...

Einfach und süß. Ich bin von einem anderen Blog starten oder fünf ziemlich bald Denken, und ich werde auf jeden Fall überlegen dieses Thema. Keep 'em kommen!