Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Saturday, December 18, 2010

Abuu Semhando , mwanamuziki wa Bendi ya Twanga Pepeta amefariki dunia alfajiri ya kuamkia leo akitoka katika shughuli zake za muziki maeneo ya Africana akielekea Mwananyamala , nyumbani kwake. ni huzuni na majonzi kwetu sote. Kazi ya Mungu..


Marehemu Abu Semuhando (Mwenye fulana nyekundu)akiwa katika mazishi ya Dr. Remmy jana ...

0 comments: