Abuu Semhando , mwanamuziki wa Bendi ya Twanga Pepeta amefariki dunia alfajiri ya kuamkia leo akitoka katika shughuli zake za muziki maeneo ya Africana akielekea Mwananyamala , nyumbani kwake. ni huzuni na majonzi kwetu sote. Kazi ya Mungu..
Marehemu Abu Semuhando (Mwenye fulana nyekundu)akiwa katika mazishi ya Dr. Remmy jana ...
Jinsi ya kuwashinda duma kukimbia
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment