Wananchi wa Sudan Kusini wanajiandaa kupiga kura kesho Jumapili ili kuamua kama wanahitaji kuwa na taifa lao ...inavyoelekea wanataka kujitenga kama bango hapo linavyoonyesha...

Nyuso za raia wa taifa jipya linalonukia...
Wadada wa Sudani Kusini wakivinjari Huko Juba wakati wakiisubiri kesho J2 wakapige kura kuamua kama waendelee Kuwa chini ya Sudan ya Muungano au wawe na taifa lao...
UZINDUZI WA YANGA DAY 2026 | BUKOMBE, GEITA | AZAMTV
36 minutes ago

0 comments:
Post a Comment