Moja ya adhabu zilizokuwa zikikera sana nyati zilee ni pamoja na hii , kushika masikio, kuruka kichura na makonzi...sijui kama siku hizi zinaendelea lakini zilikuwa zikiogopwa sana miaka ile...siju kama zilisaidia!
MO DEWJI: NIMETUMIA BILIONI 87 KWA AJILI YA SIMBA SC
58 minutes ago
0 comments:
Post a Comment