Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Tuesday, February 22, 2011


Ilikuwa kiroja katika mitaa ya Biafra kinondoni hivi karibuni alipojitokeza mdada mmoja 'kwa raha zake' akipita na kimini utata karibu na kituo cha basi huku watu wa malika tofauti wasiamini wanachokiona....eeeh eeh!
Akimama wa mtaa huo walimchangia pesa akodi taix na badala yake akanunua kiroba alichokishika mkononi. Uhuru sawa , .com sawa au ndio uzungu ?
Tunakokwenda kazi kweli kweli!. (Picha na mtandao wa Pwani-raha).


0 comments: