Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Saturday, March 19, 2011

Shirika la Utangazaji la Japani -NHK World kupitia kituo chake cha televisheni -Channel 1 kesho saa tatu usiku hadi saa nne usiku (Kwa saa za Japani) sawa na saa tisa hadi saa 10 jioni(Kwa saa za Afrika Mashariki ) Litatangaza kipindi maalum cha tetemeko kubwa la ardhi na baadaye mawimbi ya tsunami , maafa yaliyotokea Ijumaa iliyopita.
Kipindi hicho kitaonyesha hatua kwa hatua hali ilivyokuwa, hatua zilizochukuliwa na hapa tulipofika.Jipatie fursa ya kujionea kile kilichotokea. Si vibaya ukamweleza mwenzako juu ya taarifa hii...

0 comments: