Bila shaka hayo ndio yaliyo miyoni mwao. Kushoto (Specioza Mallya) Mtanzania aliyekuwa akifanya kazi katika Shirika la Utangazaji la Japani -NHK ambaye amemaliza muda wake wa kukaa Japani na anarejea nyumbani akiwa na Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili , Bi. Yuko Asano muda mfupi baada ya hafla ya kumuaga rasmi.
Jinsi ya kuwashinda duma kukimbia
3 hours ago
0 comments:
Post a Comment