Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Friday, April 29, 2011

Mbilia bel ,anakamilisha album yake mpya itayokwenda kwa jina la THE QUEEN Mama huyu mkongwe katika fani amewashirikisha nguli wengine waishio Ulaya kama Nedule Santa Crus Popolipo, Popoli Mansiamina Nyboma canta danos na wengine....


Albam hiyo itabeba nyimbo kali 12 na tayari kashuti video za nyimbo 4,mbili zikiwa nchini mwake na zingine ufaransa..........Pengine ujio huu unatarajiwa kumrejeshea tena mama huyu heshima aliyokuwa nayo zamani...take five Mbilie!

0 comments: