Mbilia bel ,anakamilisha album yake mpya itayokwenda kwa jina la THE QUEEN Mama huyu mkongwe katika fani amewashirikisha nguli wengine waishio Ulaya kama Nedule Santa Crus Popolipo, Popoli Mansiamina Nyboma canta danos na wengine....
Albam hiyo itabeba nyimbo kali 12 na tayari kashuti video za nyimbo 4,mbili zikiwa nchini mwake na zingine ufaransa..........Pengine ujio huu unatarajiwa kumrejeshea tena mama huyu heshima aliyokuwa nayo zamani...take five Mbilie!
Tetesi za Soka Ulaya Jumamosi 27.04.2024
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment