Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Monday, April 11, 2011

Mabanda ya vyakula yalikuwa na wageni wengi ...tulijumuika. Afrika iliwakilishwa na mabda mawili moja la Mtanzania , picha za chini hapo na Wakameroon ...sote tulijumuika kwenye banda 'letu' hapo tukakutana na wadau.







0 comments: