Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Sunday, May 15, 2011

Katika mitaa ya Kinshasa , Kongo DRC , Kuna vikundi vinavyofanya vyema katika muziki lakini havijajulikana sana nje ya nchi hiyo . Leo navitambulisha vikndi viwili. Kikundi cha kwanza hapo juu kimetunga wimbo wa kulaani wanaobaka wanawake nchini humo. Kumbuka kuwa vitendo hivyo vimetapakaa sana hasa maeneo yenye vita.

Kundi jingine hapo chini likiwa kwenye mazezi ya nguvu kabla hawajaibuka na bendi...unaweza kubofya hapo ukapata spices za Kikongo !shughuli ni watu!

0 comments: